Wednesday, August 29, 2012

UDSM yatoa namba za Wanafunzi wenye matatizo na matokeo yao

Chuo Kikuu cha Dar-es- salaam (UDSM) leo kimetoa namba za wanafunzi ambazo zina matatizo na matokeo yao ikiwemo matatizo ya Supplimentary, Discontinuation from studies na mitihani maalumu (Special examinations)

Tangazo hiliu ni la msingi sana kwa wanafunzi wote waliohitimu na wanaoendelea na masomo UDSM. Tafadhari ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzio uokoe jahazi. Kumbuka, namba hizi na matatizo hayo hayatofautiani na yale yanayopatikana kwenye akaunti za ARIS za wanafunzi husika.

Tarehe maalumu ya kuanza Supplimentary na special exams ni 24 septemba 2012.

"Ukitaka kujua hatima yako bofya hapa"

No comments:

Post a Comment