Monday, August 27, 2012

Changamkia nafasi za kazi UDOM

Chuo Kikuu cha Dodoma kimetoa nafasi mbalimbali za kazi katika tovuti yao. Kazi hizo zimegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni kazi za kiutawala (Administrative ones) na za kitaaluma (academic ones). Katika kazi hizo kwenye administraive ones utakutana na nafasi mbalimbali za kazi na za kada tofauti kama mtendaji ofisini na katika kundi la academic ones utakuta kazi za kufundisha kama mtaaluma.

Ni wakati wako kijana kuchangamkia dili hizo. Tarehe ya mwisho kupokea maombi ni tarehe 10 september 2012. Wahi kabla ya jahazi kuzama.

No comments:

Post a Comment