Jerusalem
Waziri wa Ulinzi wa Irael Barak Ehud akitangaza kujiuzuru kwenye siasa mapema leo hii Jijini Tel Aviv. Picha na AFP |
Waziri wa Ulinzi wa Israel Ehud Barak ametangaza kujiuzulu
rasmi kwenye Siasa mapema leo hii Jijini Tel Aviv. Amesema
kuwa kujiudhuru huko kutaanza mapema mwezi
Januari mwakani ili aweze kupata muda
mwingi wa kukaa na Familia yake.
Kujiudhuru kwake kunakufuatia kipindi kigumu kwa Israel
ambayo inashuhudia mapigano makali dhidi kundi la Wanangamgambo wa Hamas ambapo
siku nane za mapigano wameshauawa watu zaidi ya 160 wengi wao wakiwa ni
Wapalestina wa ukanda wa Gaza.
Barak kajiudhuru baada ya kazi ndefu ya Siasa aliyoifanya nchini humo na aliongeza kuwa hata shiriki Uchaguzi ujao utakaofanyika mapema mwezi Januari..
No comments:
Post a Comment